DOM LAND BLOG

DOM LAND BLOG

Thursday, September 11, 2014

HATARI: WATOTO WANAOSADIKIWA KUWA NI WANAFUNZI WAKUTWA WAKITAFUTA SAMAKI MTO RUAHA MKUU

Wakati  wanafunzi wa Darasa la Saba nchini  wakiendelea na mtihani wao wa mwisho  jana na leo kwa ajili ya kuhitimu elimu ya msingi, watoto wanaosadikiwa kuwa ni wanafunzi  kutoka shule mbali mbali za mjini Iringa  walikutwa  wakitafuta  kitoweo cha samaki katika tope kando kando ya Mto Ruaha Mkuu mjini  hapa kama wanavyoonekana pichani baada ya kukutwa na mpiga picha wetu jana jambo ambao ni hatari kwa usalama  wao hasa ikizingatiwa kando kando ya mto huo yapo maeneo yenye kina kirefu.

No comments:

Post a Comment