Sehemu ya nyumba 40 za gharama
nafuu zilizojengwa na NHC eneo la Mrara Babati mkoani Manyara ambazo
zilifumguliwa rasmi na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Mhe. William Vangimembe Lukuvi.
……………………………….
Waziri wa Ardhi, Nyumba na
Maendeleo ya Makazi Mh. William Vangimembe Lukuvi amehitimisha ziara
yake ya kutatua migogoro ya Ardhi katika mikoa ya Mwanza, Arusha na
Manyara na ameweza pia kuweka jiwe la msingi mradi wa nyumba za gharama
nafuu Buswelu Mwanza na kufungua nyumba za aina hiyo zilizojengwa na NHC
katika eneo la Longido Arusha na Mrara Babati. Picha za ufunguzi wa
Mradi wa Mrara na Muungano Saguya-Babati
|
No comments:
Post a Comment