![]() |
| Mama Maria Nyerere akiweka udongo kwenye kaburi la mtoto wake John Guido Nyerere. |
![]() |
| Jeneza lenye mwili wa marehemu John Guido Nyerere likiteremshwa kaburini na Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ). |
![]() |
| Waziri wa Katiba na Sheria Dk. Asha-Rose Migiro akiweka udongo kwenye kaburi la John Guido Nyerere. |
![]() |
| Mtoto wa mwisho wa marehemu John Guido Nyerere anayefahamika kwa jina la Wanzagi akilia kwa uchungu huku akifarijiwa na shangazi yake Anna Nyerere. |
![]() |
| Ni huzuni kwa kila mtu. |
![]() |
| Mama Maria Nyerere akiweka shada la mau kwenye kaburi la mtoto wake John Guido Nyerere. |
![]() |
| Mtoto wa Marehemu anayeishi Lusaka Zambia, Sofia Nyerere Mwape akiweka shada la maua kwenye kaburi la Baba yake marehemu John Nyerere. |
![]() |
| Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akitoa heshima mbele ya kaburi la marehemu John Gaudo Nyerere mara baada ya kuweka taji la maua. |
![]() |
| Mbunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki Shyrose Bhanji akiweka shada la maua kwenye kaburi la marehemu John Nyerere kwenye mazishi yaliofanyika nyumbani kwa marehemu Baba wa Taifa Butiama. |
![]() |
| Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakishiriki kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la John Guido Nyerere. |
![]() |
| Mheshimiwa Waziri wa Katiba na Sheria Dk. Asha-Rose Migiro akisoma salaam za rambi rambi kwa niaba ya Serikali ya Jamhuri wa Muungano wakati wa mazishi ya John Nyerere. |
![]() |
| Emily Magige Nyerere akifafanua jambo wakati wa mazishi ya John Guido Nyerere. (Picha zote na Adam H. Mzee). |














No comments:
Post a Comment