![]() |
| Dakika zipatazo 40 kabla ya dirisha la usajili barani Ulaya kufungwa rasmi jana, Klabu ya Manchester United imetangaza usajili wa mshambuliaji mpya. |
![]() |
| Bei aliyonunuliwa mshambuliaji huyo bado haijawekwa wazi ila ripoti zinasema United wameilipa Monaco kiasi cha £36m. |



No comments:
Post a Comment